Latest in Tech

Guardiola ''nitasalimiana na Mourinho kwa mkono''

Meneja mpya wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola, amesema hatakuwa na tatizo lolote kumsalamia kwa mkono meneja wa Man U Jose Mourinho, wakat wa mechi kati ya vilabu hivyo mjini Beijing.
mourinho-guardiola1
Mechi hiyo itakuwa ya pili kati yao tangu wote waache kufunza vilabu vya Barcelona na Real Madrid mwaka 2012.
Wote wamekana tofauti zoa na Guardiola anasme kuwa atamsalamia kwa mkono kama njia ya urafiki.
Wakati Mourinho naye aliulizwa kuhusu suala hilo, pia alisema kuwa atamsalamia Guardiola kwa mkono.
“Nilifanya kazi naye kwa miaka mitatu huko Barcelona, Tumesimamia tofauti, uhusiano kati yetu ni wa kawaida, alisema Mourinho.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes