Latest in Tech

Kolo Toure amesajiliwa rasmi na klabu ya Celtic ya Scotland

Beki wa kati wa kimataifa wa Ivory Coast aliyewahi kuvichezea vilabu vya Arsenal, Man City na Liverpool Kolo Toure, mwenye umri wa miaka 35, ametangazwa kusajiliwa na klabu ya Celtic ya Scotland kwa mkataba wa mwaka mmoja, hiyo itakuwa ni mara ya pili kwa Kolo Toure kufundishwa tena na kocha Brendan Rodgers ambaye amewahi kumfundisha katika kikosi cha Liverpool.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes