Latest in Tech

Liverpool imekamilisha usajili wa beki mpya.

Kocha wa Liver pool Jurgen Klopp amemsajili beki mpya kuja Liverpool kwa ada ya pound milioni £5. Beki huyu ni Ragnar Klavan na anatokea klabu ya Augsburg.
Ragnar Klavan ametia wini kwenye mkataba wa miaka mitatu na ataziba nafasi ya Martin Skrtel aliyehamia Fenerbahce na Kolo Toure.
Jurgen Klopp anamfahamu vizuri Klavan sababu mchezaji huyu amecheza kwenye ligi ya Ujerumani ya Bundesliga kwa miaka minne.
   Estonia.jpg 3


Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes