Latest in Tech

Samuel Umtiti amesajiliwa kwa mkataba wa miaka mitano, kwa dau la uhamisho wa euro milioni 20, Umtiti ambaye anachezea timu ya taifa ya France alifanya vizuri katika mashindano ya Euro 2016 atakuwa akicheza nafasi ya beki wa kushoto au beki wa kati.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes