Mwimbaji kutoka Nigeria Davido ametuonyesha hatua yake ya kwanza ya
kufungua lebel yake binafsi itakayoitwa “Davido Music Worldwide (DMW)”
Davido aliandika Instagram “Movement!!! @dmw….hq”.
Kama hufahamu ni kwamba lebel ya HKN inamilikiwa na Davido na kaka yake.
Post a Comment