Mtoto wa rapa marehemu Ol’ Dirty Bastard ‘ODB Jr’ ameweka wazi
alimuona baba yake akitumia dawa za kulevya dakika chache kabla
hajafariki.
ODB Jr mwenye miaka 26 anakumbuka kuvuta bangi akiwa mtoto na
kuambiwa na baba yake akae akimtazama yey akivuta bangi na kutumia dawa
za kulevya.
Ol’ Dirty Bastard alifariki jioni ya November 13, 2004 ‘Siku mbili
kabla ya birthday yake] akiwa na miaka 35, sababu ya kifo ilitajwa kuwa
ni mchanganyiko wa cocaine [Kupitiliza] na dawa ya Tramadol.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment