By
Unknown
•
08:18:00
•
burudani
•
Rachel Roy ambaye ni Ex wa Damon Dash
amekanusha kuwa yeye ndio “Becky aliyeimbwa na Beyoncé kwenye wimbo wa
“Sorry” kwenye album ya LEMONADE kwa kitendo cha kuchepuka na Jay Z.
Rachel amesema “Nataka uvumi wote uishe sasa, post yangu ya instagram
ilikuwa kuhusu bata zangu sio Beyonce,watu walikosea kutafsiri ujumbe
wangu, pia watu mitandaoni wanatusumbua mimi na mtoto wangu, wana
hatarisha maisha yetu,wanatuonea na inatuathiri “.
Rachel alitajwa mapema kuwa yeye ndio Becky aliyeimbwa na Beyonce na kwamba kuna ushahidi alitoka na Jay Z.
SIMILAR ARTICLES
Post a Comment