Latest in Tech

HII NDIO MIJI GHALI ZAIDI BARANI AFRIKA

10) Abuja 
Abuja ni mji mkuu wa Nigeria. Unakadiriwa kuwa na idadi ya watu 979,876. Umejengwa miaka ya 1980. Kuhusu Abuja, siku moja Nelson Mandela alisema, “Kwa nini ujitese kutembelea Ulaya wakati vitu vyote utavikuta hapa.”

9) Conakry
Conakry ni mji mkuu wa nchi ya Guinea. 
8) Bamako 
Bamako ni mji mkuu wa Mali. Unakadiriwa kuwa na takribani watu milioni mbili.

7) Brazzaville 
Huu ni mji mkuu wa Congo. Unakadiriwa kuwa na zaidi ya watu milioni 1.3.

6) Lagos
Lagos ni mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria.

5) Kinshasa
Ni mji wenye zaidi ya watu milioni nne. Ni mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

4) Libreville
Libreville ni mji mkuu wa Gabon unaokadiriwa kuwa na zaidi ya watu 500,000. 

3) Victoria
Victoria ni mji mkuu wa Ushelisheli. Ni mji ambao Prince William wa Uingereza na mke wake walienda kupumzika baada ya harusi yao. Inasemekana walitumia zaidi ya dola 5,000 kwa usiku mmoja.

2) N’Djamena
N’Djamena ni mji mkuu wa Chad.

1) Luanda
Luanda ni mji mkuu wa Angola. Katika jiji hili, inaarifiwa kuwa kodi yake inakadiriwa kuanzia Yuro 10,000 mpaka Yuro 35,00o. Maisha sio rahisi kabisa katika jiji hili.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes