Rapa wa kike kutoka kundi la Young Money, Nicki Minaj amevunja ukimya kwa kutupia picha za utupu mtandaoni.

Mastaa wengi duniani wakiongozwa na Kim Kardashian wamekuwa wakitumia njia ya kupiga picha za utupu na kuzitupia mitandaoni huku wengine wakitafuta njia nyingine za kufanya majina yao yazidi kuwa juu.

Baada ya kuonekana kuwa kimya na kutulia na mpenzi wake Meek Mill, rapa huyo amepost picha kupitia akaunti yake ya Instagram zinazoonyesha utamu wake ukiwa mtupu na kuwaacha vidume vikikodowa macho.
Mastaa wengi duniani wakiongozwa na Kim Kardashian wamekuwa wakitumia njia ya kupiga picha za utupu na kuzitupia mitandaoni huku wengine wakitafuta njia nyingine za kufanya majina yao yazidi kuwa juu.
Baada ya kuonekana kuwa kimya na kutulia na mpenzi wake Meek Mill, rapa huyo amepost picha kupitia akaunti yake ya Instagram zinazoonyesha utamu wake ukiwa mtupu na kuwaacha vidume vikikodowa macho.
Post a Comment