Ushindi huo ni kisasi cha McGregor dhidi ya Diaz aliyemshinda kwenye pambano lao lililopita.
Mahasimu hao walikumbatiana baada ya pambano kuisha na kushuhudia Diaz akienda chini mara tatu.
Diaz alionekana kuumizwa zaidi kwenye pambano hilo huku uso wake ukijaa damu. Diaz ametaka pambano la tatu.
Tazama picha zaidi:
Post a Comment