Latest in Tech

UFC 202: Conor McGregor amcharaza Nate Diaz, pambano latawaliwa na damu (Picha)

Bondia Conor McGregor ameibuka mshindi dhidi ya Nate Diaz kwenye pambano la UFC 202 lililofanyika wikiendi hii.
377405E000000578-3751207-image-a-3_1471757130370
Ushindi huo ni kisasi cha McGregor dhidi ya Diaz aliyemshinda kwenye pambano lao lililopita.
Mahasimu hao walikumbatiana baada ya pambano kuisha na kushuhudia Diaz akienda chini mara tatu.
37740FA900000578-3751207-image-m-132_1471755171312
Diaz alionekana kuumizwa zaidi kwenye pambano hilo huku uso wake ukijaa damu. Diaz ametaka pambano la tatu.
Tazama picha zaidi:
3773F89500000578-3751207-image-m-66_1471752266117
37740AE100000578-3751207-image-m-129_1471755119674
37740FBD00000578-3751207-image-m-128_1471755105138
37741A1A00000578-3751207-image-a-6_1471757397940
377414EB00000578-3751207-image-a-34_1471758175828
377417FB00000578-3751207-image-a-31_1471758006073
3774000C00000578-3751207-image-m-74_1471752534111
3774059C00000578-3751207-image-m-83_1471753561111
3774109D00000578-3751207-image-a-12_1471757580572
3774156C00000578-3751207-image-a-15_1471757712379

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes