Latest in Tech

NANI NI NANI NDANI YA AJTC

Mashindano ya utangazaji katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha AJTC yanaendelea,huku madarasa mbali mbali yakifanya vizuri katika vipindi vya HABARI, MICHEZO,BURUDANI NA MAKALA.

Mashindano hayo ya 2016 ambayo ni ya 9  yanawapa wakati mgumu  majaji jinsi yakufahamu nani ni nani kwani madarasa yote yameonekana kufanya vizuri zaidi.

DJ, MULLY NDANI YA STUDIO ZA AJTC 96.6

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes