Latest in Tech

The Game akana kurudi G-Unit

The Game amepinga tetesi za kuhusishwa kurudi kwenye kundi lake la zamani, G-Unit.
hi-res-cd0e756396687f9c507004c2ca276dde_crop_north
Ni miaka takribani kumi mpaka tangu The Game ajiondoe kwenye kundi hilo kwa kile alichokisema kuwa amegombana na 50 Cent kutokana na kutomuunga mkono bosi wake huyo wa zamani kwenye bifu zake na mastaa wengine.
Akiongea na mtandao wa Hip Hop Dx kutokana na tukio lililotokea siku chache zilizopita akionekana yupo pamoja na 50 Cent, The Game alisema ‘sijui wapi alipotokea yule mtu [50 Cent], lakini hawezi jua nini kitatokea hapo baadaye’
“You know he’s doing his thing, I’m doing my thing. Banks, Buck and Yayo, they all doing their thing,” aliongeza.
Tazama video hapa chini.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes