Latest in Tech

Rapa Young Thug abadilisha jina lake la kimuziki

Rapa mwenye mikogo tofauti kwenye muziki ,tabia na mavazi yake Young Thug amesema anampango wa kubadilisha jina lake na kujiita  ‘No, My Name Is Jeffery
Young Thug anategemewa kutangaza jina hili jipya muda wowote sasa kwa mujibu wa mmiliki wa lebo ya 300 ‘Lyor Cohen‘.
Jeffery imetajwa kuwa album mpya ya Young Thug yenye mastaa kama Elton John, Birdman, Swizz Beatz, na Floyd Mayweather.
Jeffery Lamar Williams ndio jina halisi la Young Thug na leo August 16 amefikisha miaka 25.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes