Latest in Tech

Kesi yazuia ziara ya Justin Bieber nchini Argentina

Justin Bieber amewaambia mashabiki wake hata kuwa na tour ya nchini Argentina.
Mwaka 2013 Bieber alifungiwa kuingia nchini Argentina kutokana na kesi ya shambulio inayomkabili wakati wa ziara yake kwenye nchi hiyo.
Kupitia akaunti ya Twitter, Bieber aliandika: “’Argentinian beliebers I would like nothing more than to bring the #purposetour there but until the legal conditions change there I can’t.”
russian-mega-yacht-a--st-lucia-chester-williams

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes