Latest in Tech

Mchujo wa Demotratic kuelekea Kentucky na Oregon

Bi Clinton ameshinda asilimia 94 ya wajumbe wanaohitajika kushinda uteuzi ikiwa ana wajumbe 24 dhidi ya 19 wa Sanders
Mgombea wa chama cha Democratic Bernie Sanders, anatarajiwa kuendelea na kampeni yake akitarajiwa kuonyesha ushawishi wake katika majimbo ya Kentucky na Oregon.

Mgombea mkuu Hillary Clinton ana nafasi kubwa ya kuibuka mgombea mkuu wa chama hicho mwezi Julai akiwa na wajumbe wengi zaidi.

Amekuwa akifanya kampeni yake katika jimbo la Kentucky na kusema kuwa mmewe na rais wa zamani Bill Clinton atakuwa na jukumu la kuboresha uchumi.

Bi Clinton ameshinda asilimia 94 ya wajumbe wanaohitajika kushinda uteuzi ikiwa ana wajumbe 24 dhidi ya 19 wa Sanders
Chama cha Republican kitafanya uteuzi wake katika jimbo la Oregon siku ya Jumanne, lakini uteuzi huo ni kama tayari umeamliwa baada ya mgombea Donald Trump kuwashinda wapinzani wake wote.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes